Call / WhatsApp +255673378129

Oct 7, 2010

Baada kufa GTV...!!

Ni wazi kwamba ni watanzania wengi wameathirika na uyeyukaji wa GTV wamejikuta wamebakia na Decoder wasijue wazifanyie nini huku wengine wakijipa imani ya kuwa ipo siku watarejea....!!
Decoder ya GTV unaweza ukaitumia kwa kutumia dish lake lile lile unaweza ukaona channel zipatazo 13 FREE,ambazo ndani yake kuna kama MBC1,2,3 ambazo zinonyesha movie sometimes mpira ambao unakuwa live ila si mechi zote,wala ligi maalumu inakuwa wenyewe tu wakijisikia kufanya hivyo wanafanya.Ukiacha njia hiyo kuna jamaa yangu mmoja ambaye nakili kusema ya kuwa amenizidi ung'amuzi kiasi kwamba amefanikiwa kuflash GTV decoder na ikawa receiver ambayo inapokea channel yeyote kutokana na matakwa yako...!!
Dish la GTV pia unaweza ukatumia kwa DSTV ama channel za Gospel ama nyengine kwa sababu Dish haichagui Receiver ama Decoder ni ufundi wa fundi tu.
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kuna channels ngapi amabazo unapata kwenye decoder ya GTV?

Anonymous said...

hey you can change GTV decoder and pay ksh 3000 and you be full package and installation ..amazing movies,music and football
how about that? you may contact me for installation +254729855422
gotabchi@yahoo.ca

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita