Call / WhatsApp +255673378129

Nov 1, 2010

EAST TV TANZANIA

 Easy TV Tanzania ni kampuni ambayo si ngeni sana Tanzania ila kiukweli nimegundua watu wengi hawaifahamu kutokana na ukweli kwamba hawajajitangaza kikamilifu huku wengine wakidhani kama hawako serious na kazi,ila ukweli ni kwamba hawa jamaa wapo serious na wanaendelea kufanya vizuri maana wana miaka kadhaa Tanzania wakiendelea kutoa huduma.
Zaidi kwa mahitaji ya channel za Tanzania ambazo zilizopo kwenye satellite na zile zilizopo kwenye transmeter unazipata,hii inamaana ni zote kama zitakosekana na 2 ama 1,kiasi kwamba mpaka TVZ unaipata na CLOUDS TV.
Ukiachilia hizo pia kuna za mataifa mengine ya Africa,Movie,Michezo,Documetary,Music,News na nyenginezo.








Hii ni moja kati ya Easy TV nilizowahi kuinstall,ni maeneo ya sinza A pale kwa jamaa mmoja wakujiita Kisanga.
Share:

7 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hawa jamaa hawana lolote,wamebadilisha DUBAI ONE na kuweka channell zisizo na mpango then kibaya zaidi installation zao zinaleta channell chache kwa maeneo ya temeke,watu kinondoni,magomeni wanapata channell nyingi how come....wana boared

Anonymous said...

Mimi nawapiga chini air time yangu ya mwezi huu ikiisha,wametuondolea Channel za Mengi na toka juzi TBC,Channel 10 na StarTv hazionekani,pumbavu zao kabisa.

Anonymous said...

Kuna nyingine unakuta labda wanaiba, sasa wakibambwa ndio hivyo zinatoka. Base station yao iko mwenge, naona maeneo ya mbali itakuwa shida. nimechukia wametoa Viasat ya Ghana with lots of Good series.

Anonymous said...

Hata hivyo wana wakala wengi mpaka tunashindwa kuelewa makao makuu yao yapo wapi?

Anonymous said...

kiasi gani kwa hivi sasa for new connection

mercy said...

I regret ever buying this decoder. Leo channel ipo kesho hamna, such a waste of money

Unknown said...

kwani hawa jamaa wana stesheni ngapi za local za hapa tanzania???

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita