Call / WhatsApp +255673378129

Nov 24, 2010

GREEN ACRES BULDING ILIVYOKUWA....!!

 Hapa c mahali pa geni kwa wakazi wa Dar es salaam ijapokuwa jengo hili halina muda mrefu sana toka kujengwa,hapa kuna office tofauti tofauti na ambacho kimetokea nilitakiwa ku7babisha watu waangalie TV kwani kuna fundi alikuwa ameinstall Satellite Dish,ambayo ni c band kwa ajili ya local channel ila kilichotokea picha zikawa zinakatakata sana, nilichokifanya kama kawaida yangu na kuacha wa2 wanafurahi na nyoyo zao:-










 Ambacho nimekiacha kinaendelea kuonekana ni za gospel na za Tanzania kwa kutumia single solution cable kama macho yako yanavyoangaza hapo.....!!
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Nami nna fani kama yako je naweza nikapata kazi,inaelekea mwenzangu umepevuka sana naomba nafasi ya kujifunza zaidi toka kwako!
Amos wa makambako.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita