Call / WhatsApp +255673378129

Nov 17, 2010

Some where in Mbagala.........!!!!

Actually kazi yangu imeweza kunitembeza sehemu nyingi sana kiasi kwamba hata se
hemu nyengine sikudhani kama kunawatu wanaishi huko ama ni nchi yetu hii hii Tanzania...!!!!Dah...!! mfano juzi nilikuwa sehemu 1 wanaita Mbagala,ila mbagala hii ipo ndani ndani sana,unaingilia zakiem kwenda kushoto.
Macho yangu yamethibitisha kwamba kuna maeneo ukifunga Dish wewe kidume,ndo kama huko Dish za kuhesabu na zote nilizoziona ni FTA ila DSTV ni hii tu niliyeenda kufunga mimi,hii inamaanisha ya kwamba jamaa kajiwekea alama ya kutosha hata kwa anaoishi nao karibu yaani inakuwa "ulizia palipofungwa Dish la DSTV na nyumba yetu inatazamana nayo".
Kazi ilikuwa kama ifuatavyo:-












Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita