Call / WhatsApp +255673378129

Dec 26, 2010

Boxing day nime7babisha like this......!!!

Ikiwa ni siku 1 baada ya kusherehekea sikukuu ya x-mass,kilichofuata ni kupeana zawadi kwa kwenda mbele nami nina wangu wa kuwapa banaa...!!
Unadhani zawadi kwangu itakuwa ni nini kama si ku7bisha ili wengine wafurahie na familia zao na maisha yaweze kusonga mbele kama ilivyo ada ili kuutengeneza mchana na usiku,leo ni jumapili saafi kabisa nami nipo nafanya haya ambayo nimejaaliwa kufanya siku hii ya leo...!!
Unajua watu wanashindwa kuelewa kuna watu duniani wamezaliwa kwa ajili ya kuja kufurahisha watu wengine tu duniani nami nikiwa mmojawapo na kama hukulijua hilo ichukue hii na utembee nayo,ili siku ukipata bahati ya kukutana na mimi nawe uweze kufurahishwa pia....!!
Hii ni nyumba ya mtu,ambaye ana tv mbili sitting room na bed room na alitaka kuona picha clear kote kwa kutumia Satellite Dish Antenna na kila mtu kuangalia channel aipendayo kwa wakati mmoja bila kumuudhi mwengine,nami nika install FTA channel za Local na Gospel,Dish 1 ila Receiver 2,pia nikafanya Extra view upande wa DSTV na boxing day kwangu ikaishia hivii....!!
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita