Call / WhatsApp +255673378129

Dec 19, 2010

Dish hii haina uwezo....!!

Dish ndogo ( ku satellite dish ) haina uwezo wa kukamata channel zilizopo cband kama kwa mfano channel za Tanzania,pia haina uwezo wa kuondoa chenga zilizopo kwenye Antenna uliyofunga kwa ajili ya local kwani haina muingiliano wowote na channel zilizopo kwenye transmetter zaidi ya yote inatumia lnb ndogo tu.
Kwa kuongezea ukifunga Dish huwezi kumuona jirani yako akiwa anafanya mambo yake,maana wapo wanaoamini na kutoa soga za kwamba ukifunga dish ndo kila kitu hata mwizi wako unamuona jamani jamani si hivyo hayo mambo ni ya CCTV camera,nadhani nimesomeka......!!

Share:

4 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Umesomeka mkuu,nimesikia kuna DSTV za magumashi vipi etii hii ipo??
Ukifunga inakuwa ndio umefunga hakuna malipo ya mwezi unasemaje hapo??

Anonymous said...

mimi nimeona ila kwa sasa jamaa haoni vipi hao dstv wamegundua nn?
Kama vp hiyo ndo issue hata mm nataka nitapaje hiyo ambayo haina malipo ya mwezi?

Mustapha MaDish said...

kuhusu dstv za magumashi siwezi nikasema zipo ama hazipo ambacho naweza kusema naanda post ambayo itafafanua kwa kina kuhusu dstv bila malipo ya mwezi,maana napata email na simu nyingi nikiulizwa swali hilo...!!
La msingi tembea na mimi katika ukanda huu utang'amua meengi...!!

Anonymous said...

ahsante kwa kutuletea hii kitu nimekupigia kwa number zote hupatikani,nipo mlandizi hapa tuna ofisi yetu mpya tunafungua january kwa hivyo tulitaka huduma.
Nimekutumia contact zetu kwenye email yako,kama utapiga simu iwe saa 2:30-11:30 jioni daily kasoro jumapili na itakuwa vizuri tukiwasiliana siku mbili hizi....!
Kscw

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita