Call / WhatsApp +255673378129

Dec 3, 2010

Mfumuko wa VING'AMUZI Tanzania....!!

Watanzia tulizoea ili picha ya TV ionekane clear na uweze kupata channel za nyumbani na za nje kwa kutumia Decoder/Receiver sambamba na Satellite Dish Antenna,ila sasa ni tofauti maana unaweza ukatumia Decoder na Antenna ukapata channel clear kabisa.
Ilianza EASY TV ijapokuwa hawajajitangaza vema ila kiukweli wamekuja vizuri na bado wanafanya vizuri maana unapata local channel karibu zote yaani zile zilizo kwenye transmeter na zilizo kwenye satellite,pia unapata channel nyengine za mataifa ya nje yakiwemo habari.( hawa ni wachina )
Hata mwaka bado toka tutamburishwe STAR TIMES nayo ina channel za local ambazo hazifiki hata tano,pia channel za mataifa ya nje yakiwemo habari.( hawa ni wachina na TBC )
Tena imekuja ATN nao wana vinga'amuzi vyao ambao wapo sana kidini.
Hii inaonyesha kwamba kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo ongezeko la ving'amuzi linakuwa kubwa kutahamaki ukitaka TBC ununue king'amuzi,ATN ununue king'amuzi,STAR TV ununue king'amuzi,ITV ununue king'amuzi na nyenginezo......!!
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Nini tofauti kati ya (STARTIMES,DIGITEK, TING na CONTINENTAL) na (DSTV, ZUKU, EASY TV na ving'amuzi vingine kama STRONG)?
Ina maana hawa wengine mbali na waliopewa leseni hawana leseni ya kuuza ving'amuzi au???

Anonymous said...

Nini tofauti kati ya (STARTIMES,DIGITEK, TING na CONTINENTAL) na (DSTV, ZUKU, EASY TV na ving'amuzi vingine kama STRONG)?
Ina maana hawa wengine mbali na waliopewa leseni hawana leseni ya kuuza ving'amuzi au???

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita