Call / WhatsApp +255673378129

Dec 25, 2010

Near at Bondeni Hotel Magomeni mapipa

Hapa ufundi ukiendelea
Mcheza kwao hutunzwa na ndivyo ilivyo kila siku ziendazo kwa mungu,hapa ni Magomeni mapipa yaani ni mitaa ya nyumbani wenyewe wanasema mitaa ya kujidai ni karibu na Bondeni hotel ambayo inaonekana kwa mbele kule yenye rangi nyeupe kwa wenye macho....!!
Hapa banaa ilikuwa tatizo local channel hii dish ilifungwa kitambo isipokuwa ilihama tu kidogo kwenye position yake,hivyo nikafanya nilichokifanya ikawa heee watu wanaona wabongo na wazungu wazungu,nami nikachukua vyangu nikachapa mwendo kujiandaa kula chakutoka cha x-mass....!!
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mwaka mpya huoo tutegemee lipi jipya ambalo litatupa ufunuo zaidi katika mambo zako hayo ya kuuzunguka ulimwengu ukiwa na tv yako...!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita