Call / WhatsApp +255673378129

Dec 3, 2010

UFUNDI si uchafu bali ni tabia ya mtu.....!!!

Hii inatokana na ukweli kwamba mshangao umekuwa mkubwa sana mtu nikimwambia mimi fundi.....!! 
hata nikimwambia habari ya kuhusu madish anadhani ya kuwa labda mimi ni sales yaani nitaongea nae then wafungaji wataenda wengine mwisho wa siku inakuwa tofauti na adhaniavyo...!!
wananikuta ni mimi nikiwa na team yangu eneo la tukio tukisababisha,nimegundua kwamba ni kutokana na muonekano wangu,umri na mengineyo ila kikubwa ni kazi.
Napenda kuwaambia mafundi wenzangu kwamba hatuna tofauti na madaktari,hivyo hatuna budi kujithamini ili wengine watuthamini na kuwa katika hali ya usafi muda wote.
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Waambie wenye tabia hiyo kwamaana wanaharibu heshima ya taaluma zetu kwani kwa nchi za wenzetu fundi ni kama Daktari anathaminiwa sana nae pia anajiheshimu pamoja na kuwa smart!!

Anonymous said...

Kaka pteza sana mafundi wachafu!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita