Call / WhatsApp +255673378129

Dec 9, 2010

UHURU DAY ilivyokuwa......!!

Tarehe kama ya leo ila miaka 49 iliyopita hayati mwalimu J.K.Nyerere na viongozi wengine walisababisha siku hii iwe tunaikumbuka kila mwaka na kuifanya siku ya kihistoria,kwanini kwasababu ndo siku tulyopata uhuru toka kwa watawala wetu ambao ni wakoloni,ulikuwa uhuru wa Tanganyika ambayo sasa inajulikana kama Tanzania.
Leo ni mapumziko na kila mtu anaifurahia kwa mtindo wake,ambapo kitaifa ilifanyika uwanja wa taifa wenye nafasi walienda lakini mimi nilikuwa kazini kama kawa na haya ndo niliyoya7babisha leo uhuru day.....!!!












 Unaweza ukashangaa vipi Dish la DSTV lakini kuna Reciveiver ya Media com badala ya Decoder ya DSTV,hapa bana nimeinstall channel za Gospel ambazo ni free zipo 30,hazina uhusiano wowote na DSTV ila kwasababu dish zinaingiliana ndo maana tukatumia hilo.....!!!
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hivi hauwezi kupata channel hata moja ya Tanzania kwa kutumia dish ndogo....??
Ibra

Mustapha MaDish said...

Hauwezi kupata mpaka Dish inayoanzia futi 6 na kuendelea....!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita