Call / WhatsApp +255673378129

Dec 20, 2010

Zijue channel za nyumbani zinazopatikana kwenye Dish..!!








Hizi ndizo channel za Tanzania zinazopatikana kwenye Satellite Dish,ambayo inaanzia ft6 na kuendelea kwa kutumia C band lnb 1.
Unaweza ukajiuliza inakuwaje mtu anafunga dish kwa channel hizo tu,ila ambacho kitakuongezea ni channel za nje zikiwemo habari,movie na mengineyo...!!
Idadi ya channel inakuwa nyingi ama chache kutokana na idadi ya lnb na ukubwa wa dish pia lakini dish inayoanzia ft6 unaweza ukaona channel zaidi ya 60 zikiwepo na hizo hapo juu za channel Tanzania.
Share:

11 Unasemaje..??:

Anonymous said...

mimi nina strong na nataka kuona na dstv kwa kutumia hii hii strong nafanyaje....??
Maana kuna sehemu nimeona hii....

Anonymous said...

clouse tv vipi haipatikani kwenye dish...?
Mbona kwenye antenna inakamata clear sana..??
Je frequency zake..!!

Mustapha MaDish said...

kama unatumia receiver ya strong ambayo inatumia card,unaweza kuona dstv kwa kununua smart card ya dstv then wanalink na receiver yako baada ya hapo unaweza kuona dstv...!!
Lakini ni lazima ufunge dish kwa muelekeo wa dstv na frequency za dstv...!!

Mustapha MaDish said...

ambacho naweza kukwambia mdau clouse haipo kwenye satellite,sijui hapo kwa baadae na kuhusu kuonyesha vizuri ni mitambo yao tu ina nguvu sana....!!

Anonymous said...

Dish kubwa haina uwezo wa kukamata DSTV kwani....??

Anonymous said...

Dish kubwa inayo uwezo ila kwa Decoder za C band tu....!

Anonymous said...

Vipi hawa jamaa wa kujiita ZUKU TV wazuri??

Unknown said...

Nilikuwa Naomba Kama Namsaidia Na frequency Za channel mbalimbali Za kwenye dish

Unknown said...

Naomba namba mpya za chanel ten 2015

nwanajamiitanzania.blogspot.com said...

Hivi kwa sasa 2016 kuna channel za satellite yenye C-Band lnb 1,zaidi ya ITV,EATV,CAPITAL,STARTV,TIM,MVM 1,MVM2?
Kama ipo naomba frequency zake,by Patrick Manuma.Kupitia Manuma1984@gmail.com.

nwanajamiitanzania.blogspot.com said...

Nina satellite dish futi 6 ina C-Band lnb 1,napata ITV,EATV,CAPITAL,STARTV,TIM,MVM1,MVM2.
Kuna channel zaidi ya hizi kwenye c-band,naomba frequency zake kama zipo.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita