Call / WhatsApp +255673378129

Sep 15, 2010

ARABSAT


Hii inajumuisha Dish kubwa cband,Receiver,LNB,Cable na Installations!
Unapata kama channels 29!

KUHAMISHA Tsh 50,000/=

KUFANYA REPAIRING Tsh 30,000/=

KUFANYA INSTALLATIONS Tsh 50,000/=
Share:

DSTV INSTALLATIONS



DSTV SINGLE VIEW
Kwa sasa offer imeisha kwa Tsha 169,000/= unapata vifaa pamoja na Installations ya single view!!
Then unachagua package uipendayo na kuilipia kwa utaratibu uliowekwa kama ifuatavyo:-
Access $10 - Channels 40. Kama Tsh 16,000.
Family $20 - Channels 55. Kama Tsh 32,000.
Compact $30 - Channels 60. Kama Tsh 48,000.
Compact plus $50 - Channels 70. Kama Tsh 80,000.
Premiur $80 - Channels 100. Kama Tsh 128,000.
Unaweza ukapanda na kushuka kutokana na chaguo lako!
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa

 DSTV EXTRA VIEW
 
Hii inatumia Decoder mbili na unapata channels 2 tofauti kwa A/c moja kinachozidi ni $10 kwa mwezi kwa package utakayoichagua!


DSTV HD DECODER
Ina uwezo wa kupeleka mbele,kurudisha nyuma,kusimamisha hata kama kipindi ni cha moja kwa moja,pia ina uwezo wa kurekodi saa 150!
Zaidi ya yote inaonyesha vizuri zaidi kuliko decoder za kawaida.
Hiiinajumuisha Dish ndogo,lnb ya njia 4,cable mt 100.Kwenye malipo ya mwezi inazidi $10 kutokana na kuongezeka channels kwenye HD DECODER unapata zaidi ya channels zile zanazopatikana kwenye SINGLE VIEW DECODER!
Pia unaweza ukawa na HD DECODER na ukafanya EXTRA VIEW kwa kuongeza DECODER nyengine ya SINGLE VIEW lakini pia itazidi $10 kwenye malipo ya mwezi!
Pia unaweza ukawa na HD na ukaongeza HD kwa EXTRA VIEW

KUHAMISHA DISH
Inategemea DSTV gani:Single view,Extra view,HD!!

KUFANYA REPAIRING
Inategemea DSTV gani:Single view,Extra view,HD!!

KUFUNGA MPYA
 Inategemea DSTV gani:Single view,Extra view,HD!! 

Pata huduma fasta na inakufuata mpaka ulipo!!
Piga +255 789476655
Offer ni mpaka kuisha kwa bidhaa!!
Share:

Sep 14, 2010

Abudhab TV


Hii ni ya waarabu na ili upate lazima ununue Arabuni,bei inategemea na jinsi utakavyopata namaanisha zile njia za kuagiza!!
Hii inakuwa ni Decoder inakuwa na air time ya miezi 12!!
Itakapoisha itakulazimu kulipia tena kwa mwaka kwa utaratibu utakaopewa!
Sisi ambacho tunafanya ukishakuwa na Decoder tutakusaidia kupata Dish.lnb,Cable pamoja na Installations.
 KUHAMISHA Tsh 50,000/=

KUFANYA REPAIRING Tsh 30,000/=

KUFANYA INSTALLATIONS Tsh 50,000/=

Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita