Call / WhatsApp +255673378129

Nov 25, 2010

CNZA 2MEREJEA TENA....!!!

Leo nipo pande za cnza karibu kabisa na nilipozaliwa naamaanisha nyumbani,hapa nili install DSTV miezi kadhaa iliyopita ila leo nimerejea tena kuinstall FTA kwa ajili ya local channel na channel za gospel na mambo yalikuwa as usually:-







Share:

Nov 24, 2010

Offer ya DSTV sawa na bure.....!!!

Huu ndo wakati wa kwenda level 7bu tu wote 2na tambaa na DSTV,ni offer ya ukweli sana kama mzunguko wa money upo...!!
Ambacho unatakiwa kufanya kama wewe ni mpenzi wa Movie hapa ndo maana pake picha mpya ambazo hata unaweza ukatafuta CD zake ukazikosa 7bu ya upya lakini hapa ukaona tena channel zadi ya 4.
Sport hasa wale wapenzi wa mpira hivi ni nani ambaye anakufanya wewe unaona mechi LIVE kama c DSTV.
Na mengineyo meengi huu ndo wakati mzuri kwako,itumie offer hii....!!
Wengi wanataka kujua offer inaisha lini ila ukweli ni kwamba strock ikiisha ndo mwisho wa offer hivyo isije ikakukuta ile ya ningejua...!!
Ukitoa 90,000/= unapata satellite Dish,cable mt20,ku lnb pamoja na installation baada ya hapo itakulazimu uchague package za air time uipendayo then utalipia kila mwezi kadri utumiavyo.
Sharti la offer hii ni lazima malipo ya mwezi either ulipie package ya premiur mwezi 1,Compact miezi miwili,Family miezi mitatu na access miezi minne.
 Ukipitia hapa tunakuja mpaka mlangoni hata pesa unaweza ukalipa baada ya kufungiwa.
BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa

PIGA +255 789 476 655
Share:

GREEN ACRES BULDING ILIVYOKUWA....!!

 Hapa c mahali pa geni kwa wakazi wa Dar es salaam ijapokuwa jengo hili halina muda mrefu sana toka kujengwa,hapa kuna office tofauti tofauti na ambacho kimetokea nilitakiwa ku7babisha watu waangalie TV kwani kuna fundi alikuwa ameinstall Satellite Dish,ambayo ni c band kwa ajili ya local channel ila kilichotokea picha zikawa zinakatakata sana, nilichokifanya kama kawaida yangu na kuacha wa2 wanafurahi na nyoyo zao:-










 Ambacho nimekiacha kinaendelea kuonekana ni za gospel na za Tanzania kwa kutumia single solution cable kama macho yako yanavyoangaza hapo.....!!
Share:

MAGOMENI MAPIPA ILIKUWA MKAZUZU...!!

Najisikia vizuri pale ninapofanya mazuri ninapokuwa viwanja vya nyumbani ama kufanya kazi na watu ambao still ndo wanaonizunguka daily.....!!
Leo wadau nimeibukia pande za kitaa,hapa nili install GTV enzi za uhai wake na baada ya kufa nikabadili na kuwa channel za free za mbc,hiyo ikawa haijitoshelezi kihivyo 7bu wadau ni wapenzi saana wa soka na ndipo leo nikaitwa ku7bisha DSTV ipatikane nami nili install kama ifuatavyo kwa macho:-

Share:

Nov 23, 2010

GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL...!!


Ilikuwa ijumaa tulivu sana na kwa siku hii nilianzia hapa Giraffe hotel katika sehemu iitwayo jety 1, hapa nili install DSTV na mambo kuwa mazuri..!!
Kwa wale wasiopajua hapa ni Dar maeneo ya mbezi beach Africana katika hotel iitwayo giraffe kuna ukumbi ambao upo baharini unaitwa jety 1,kiukweli pazuri na panavutia kwa ujumla na baada ya kuinstall DSTV ndo dah mvuto umezidi mara dufu.....!!
Mambo yalikuwa hivi katika mapichapicha:- 
                                                           
















Share:

IN KIBAMBA.......!!!

Hapa bana ni hostel kama ulikuwa hujui ila inaonekana ni za mtu binafsi kaamua kujenga na kuwapangisha wanafunzi,hizi hostel hazipo mbali sana na chuo ambacho huyu jamaa anasoma,aliona itakuwa vizuri zaidi akiwa anacheck na DSTV kipindi anachokuwa anabukua:-

Share:

Nov 21, 2010

C Band Single Solution Cable!!


 Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo!!
C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi KU hata kwenye interference inakama Signal vizuri!!
Tazama tofauti yake kimuonekano:

Hii ni C Band Single Solution Cable

Hii ni C Band ya kawaida
Pia katika uingizaji wa freeguency kuna tofauti kati ya c band ya kawaida na c band single solution!!
Ambapo kwa single solution unatoa 600 za upande mmoja.
Mf: frequency ya ITV,EATV,CAPITAL-F3642 S8545V (F3042 S8545V),hivyo za V zote unatoa 600 isipokuwa za H hutoi!!!
Share:

Nov 18, 2010

IPS hostel chanika.....!!

Hapa ni Hostel za IPS college,chuo hiki kipo maeneo ya chanika na hapa ni katika hall lao ambapo ndipo wanapofanya maevent yao ila kikubwa ambacho kime7bisha mimi nifike hapa huwa wanaangalia TV kupitia ukumbi huu so wanamiss kitu kinachoitwa mpira ulio live bila chenga...!!






















Nilichofanya hapa na kuacha watu wakiangaza macho na kusababisha stori na vicheko toka kwenye TV ni DSTV EXTRA VIEW ambapo wanaweza kuona channel mbili kwa wakati mmoja kwa kutumia a/c moja.
Nimetumia Dish moja ila lnb ni twine ila Decoder ni mbili kama kawaida,ila napo pa kufunga ilikuwa tatizo maana miti ilikuwa mingi sana mwisho wa yote nikafanikiwa kudrill ukutani kwa kuizidisha stend kama inavyoonekana hapo juu....!!
Share:

Nov 17, 2010

Mwananyamala tena.......!!

Mahitaji ilikuwa zinatakiwa channel za bure ambazo ni nzuri,Dish nilizikuta ila ambacho mimi nilisaidia ni LNB tu.
Nikasababisha watu waangalie channel za Local,Asia pamoja na zile za MBC.
Ilikuwa hivi:-
Satellite Dish Antenna zilikuwa mbili KU na Cband
nam nikatumia ufundi wangu kusababaisha.
Share:

Some where in Mwananyamala....!!

Huyu jamaa nilimfungia kitaambo maeneo ya sinza pale,ila leo akataka kuhama hivyo nami nikamuhamisha na DSTV yake kama uonavyo,hii ni maeneo ya Mwananyamala A ndipo alipohamia sasa na mambo yalikuwa 
as usually:-
 









Picha hizi zote ni baada ya kumaliza kuinstall na ku7bisha wazungu kuonekana.

Share:

Nyumbani kwa mbunge wa bunge la A.Mashariki....!!

 Ni maeneo ya Chanika wanaita kwa Masantula,hapa bana ndo maeneo aishiyo mh.Didas Masabuli mbunge wa bunge la A.Mashariki,hata mwezi bado toka niende kurekebisha FTA ilikuwa inasumbua na hii ni toka nifunge karibu mwaka mmoja uliopita....!!!
 Ilikuwa hivi......:-
Hapa ni katika setting za kuweka c band LNB ya Local na Asia channels,zote zikiwa ni za bure.
Hapa tayari kwa kuuangalia signal zimeingia,zikiwa LNB zote mbili kama zinavyoonekana hapo.
Share:

Somewhere in Masaki.....!!!

Tupo kwenye mbio za OFFER ya DSTV hivyo tunayasababisha haya daily leo nipo maeneo ya Masaki kwa wakishua,huku nimesababisha DSTV na channel za GOSPEL ambazo ni za bure...!!














Hapa nishauza na tayari kwa kuchapa mwendo....!!
 
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita