Call / WhatsApp +255673378129

Jan 10, 2011

nimewamiss sana wajameni...!!

ebwana dah....!!
Kitambo kidogo sipatikani hewani kwa no.za tz huku wengi nikiwapa shida jinsi ya kunipata na lawama zikiwa zimejaa gunia..!!
Nipo sehemu ambayo ni nadra sana kukutana na mtu mwenye ngozi kama yangu nyeusi,pia kiswahili ndicho hakisikiki kabisaaa...!!
Ila ni mbio tu i wish nitakuwa home soon banaa....!!
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

mbona hata tukituma email haujibu chochote ama tutapataje msaada wako....??
Ni lini utakuwa huku

Anonymous said...

Inamaana tukikumiss ww hakuna ambaye ataweza kutupa msaada maana hii dish yangu imepoteza signal.
Miko.
DSM

Anonymous said...

Madish vipiiiiii.....???
Umetukimbia ama shavu nchi za watu...??
Njoo bwana ujenge nchi yako pamoja.

Anonymous said...

Wewe hivi mbona nimekutafuta sana hadi nimekata tamaa ni leo nilikuwa natafuta kitu kuhusu TV toleo jipya google wakanilietea na blog yako,umepotelea wapi please jibu email yangu nimekutumia naomba namba zako kwani ni zote hazipo hewani.
Nipe hata ambazo unatumia huko ulipo nataka maelekezo tu then nitafanya mwenyewe.

Anonymous said...

upo hai kweli ??

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita