Call / WhatsApp +255673378129

May 19, 2011

MWENDO NI ULE ULE...!!

 Wa nyumba hadi nyumba jengo hadi jengo ilihali dunia tunaileta nyumbani kwako ukiwa TV yako hata kama black n white utaifurahia...!!


Hapa ni maeneo ya sinza hapa nimeacha channel za gospel zikiendelea kama kawa ila usitishike na hiyo lebo ya DSTV ni dish tu,kutokana na ukweli kwamba dish zinaingiliana..!!

Share:

7 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mimi nipo na decoder ya GTV je naifanyaje????

Anonymous said...

Mimi nina dishi langu nimehama nayo toka sumbawanga mtanicharg kiasi gani kufunga,ni ile ndogo ya dstv kwa sasa nipo mpakani next week ntakuwepo huko ni mlandizi hapo.

Anonymous said...

Channels gani napata kwenye decoder ya GTV?

Mustapha MaDish said...

Channels ambazo zinapatikana kwenye decoder ya GTV ni za free zipatazo 11 zikiwemo channel za MBC..!!

Mustapha MaDish said...

Mwenye dish uliyetoka nayo sumbawanga je hujasahau kitu,maana swala la mwenye kuhama wengi wenye madish wanasema kila kitu kipo matokeo yake unapofika eneo la tukio,unakuta kuna mapungufu vifaa vyengine vinakosekana baada ya kuachwa lilipofunguliwa dish...!!
Bei nipigie utakapokuwa tayari..!!

Anonymous said...

What broad daylight isn't today?

Anonymous said...

What light of day isn't today?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita