Call / WhatsApp +255673378129

May 14, 2011

Hakuna kinachoshindikana...!!

Share:

4 Unasemaje..??:

Anonymous said...

DSTV wametoa decoder mpya nasikia eti ni mchina ni kweli,issue inakuja hazichelewi kubuma!!
HD unaweza ukatumia kwa TV ngapi zaidi!!!

Mustapha MaDish said...

HD kama HD unatumia kwa TV moja tu na ili ukitaka kutumia TV ya pili ni lazima utumie decoder ya pili..!!
Ndio DSTV wametoa decoder nyengine bt c mchina na swala la kubuma cna hakika nalo coz wapo ambao tumewafungia mpaka leo hawajalalamika kama zimebuma...!!
Inategemea na matumizi yako..!

Anonymous said...

Hivi projector unaweza ukatumia Antenna ya kawaida ili kupata channels za local

Anonymous said...

Nasikia zile dish kubwa nyeusi lakuzunguka lenyewe unapata nchi yeyote uitakayo hivi kwa sasa hivi linafika bei gani?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita