HD kama HD unatumia kwa TV moja tu na ili ukitaka kutumia TV ya pili ni lazima utumie decoder ya pili..!! Ndio DSTV wametoa decoder nyengine bt c mchina na swala la kubuma cna hakika nalo coz wapo ambao tumewafungia mpaka leo hawajalalamika kama zimebuma...!! Inategemea na matumizi yako..!
4 Unasemaje..??:
DSTV wametoa decoder mpya nasikia eti ni mchina ni kweli,issue inakuja hazichelewi kubuma!!
HD unaweza ukatumia kwa TV ngapi zaidi!!!
HD kama HD unatumia kwa TV moja tu na ili ukitaka kutumia TV ya pili ni lazima utumie decoder ya pili..!!
Ndio DSTV wametoa decoder nyengine bt c mchina na swala la kubuma cna hakika nalo coz wapo ambao tumewafungia mpaka leo hawajalalamika kama zimebuma...!!
Inategemea na matumizi yako..!
Hivi projector unaweza ukatumia Antenna ya kawaida ili kupata channels za local
Nasikia zile dish kubwa nyeusi lakuzunguka lenyewe unapata nchi yeyote uitakayo hivi kwa sasa hivi linafika bei gani?
Post a Comment