Call / WhatsApp +255673378129

May 6, 2011

NIPO KWENYE RESEACH ZAIDI....!!!

 
Kila kukicha yanazaliwa mapya nami naumiza kichwa kwenda sawa katika ukanda wangu huu....!!
Mfano leo Tanzania yetu imekuwa na mfumuko wa ving'amuzi na kufanya pia ufungaji wa madish kupunua ila mwisho wa siku bado dish linskuwa dish na king'amuzi kinabaki kuwa king'amuzi....!!
Ambacho wengi hawajui hata hayo makampuni yenye kuuza vinga'amuzi wanatumia Satellite Dish kukamata hizo channel zote zinazoonekana kwenye ving'amuzi vyenu..!!!
Hii inathibitisha ya kuwa still Dish itakuwa juu na ving'amuzi kufuata..!!
Ila kwa upande wangu nipo kwenye reseach ya kutaka kujua channel zote zilizopo kwenye Satellite ulimwenguni ambazo zinapatikana Africa pia zile zinazotumika na makampuni na kufungwa na kuwa za kulipia....!!
Lengo ni kupanua uwezo wangu katika fani hii na nashukuru mungu nimepata speed ambapo nimefanikiwa kwa kiasi fulani....!!
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kuna issue ya DSTV bila malipo vipi umeshaiweza?

Mustapha MaDish said...

Ipi ya cband ambayo unatumia internet or ya KU...!!???

Anonymous said...

Ambayo unaijua wewe??
Na je unawafungia watu mimi mmojawapo nataka hiyo ya bila malipo!

Anonymous said...

Naulizia internet kupia dstv unatakiwa uwe na vifaa gani, na weza kunielekeza, au kunifanyia installation mahome kwangu! pia bei gani.

Anonymous said...

Nilikuwa naulizia internet kupia dstv decorder, je natakiwa ninunue dstv ya aina gani na vifaa vp, je una weza kuja mahome kunionganishia kwa bei gani?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita