Call / WhatsApp +255673378129

May 16, 2011

UNAILINDA VIPI DISH YAKO NA MVUA..??

 Ni jambo la kawaida mtu kulinda chake ili kidumu milele,hapa tunaweza kuona jambo ambalo watu wengi ambao wanamiliki madish wanapenda kulifanya kwa kuzuia mvua.....!!
Je wewe unalindaje dish lako...??




Share:

7 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mbona kama vichekesho mkuu!!

Mustapha MaDish said...

Kwanini hali ya kuwa watu wanalinda vyao...!!

Noell said...

Kwani unaweza ukafunga chumbani na ukaona pichaa??

Mustapha MaDish said...

Kiukweli wadau Satellite dish imetengenezwa kuhimili hali zote mvua na jua...!!
Hivto ukiifunga ndani ama ukiifunika huwezi kuona chochote...!!
Zaidi ya yote ili uone kuna vya kufunikia vikaweza kupitisha signal.
Mf.makopo yale ya maji..!!

Anonymous said...

Kwa maana hata hiyo iliyo na mwamvuli haionyeshi kitu!!??

Mustapha MaDish said...

Hapo hakuna anachoona kutokana na lnb kuzibwa na mwamvuli na kusababisha kukata mawasiliano kati ya lnb na dish..!!

Anonymous said...

Dish yangu inamiezi 8 na toka kufunga sikuwahi kumuita fundi kuja,haijasumbua na wala sikuifunika kwa chochote ni vile vile ilivyofungwa.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita