Call / WhatsApp +255673378129

Jan 10, 2012

LOCAL CHANNELS ZATULIA KWENYE FUTI 6!!


Baada ya kusumbua muda mrefu hatimae Channels za Tanzania zote zilizopo kwenye Satellite zatulia!
Tatizo ilikuwa kama zinatulia za V za H zitasumbua na Zikitulia za H za V zitasumbua,tatizo hili huwa linatokea mara kwa mara na wala sitaki kuamimni kama ndio limeshakuwa limefika kikomo kwa ushauri tu ikiwa unataka Local channels kupitia Dish ukinunua la futi 8 itakuwa unapata uhakika wa kile ukitakacho kwasababu hata zikiwa zinasumbua kwenye futi 8 unaendelea kula raha!!
Hata channels ambazo awali zilipotea nazo zimerejea kama Mozambique n.k kwa LNB c band hiyo hiyo ya Local channels.
Pia unaweza ukapata za kenya kama KBC n.k. kwa kutumia KU lbn!!
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita