Call / WhatsApp +255673378129

Apr 7, 2012

TOKA MOYONI IMENIUMA SANA!!

Sometimes unaweza ukakufuru na kutamani afe mtu fulani na aliyekufa akabaki,kutokana na mapenzi yako kwake ila aliyeumba ndiye kila kitu anaamua amchukue nani na muda gani,ukiangalia sana wale wazuri mara nyingi wanakuwa na uhai mdogo ila wale pasua wanaishi miaka miiingi ila siri anaijua Allah!

 Kiukweli nimeumizwa sana na kifo cha Kanumba,sababu ya mapenzi yangu kwake ila sina la kusema zaidi ya kumuombea alale mahala pema peponi!!
 Amefanya mengi mazuri na kusaidia wengi,mimi kwa Tanzania nilikuwa na wasanii wangu wawili tu wa kiume wasanii hasa JB na marehemu KANUMBA na ilikuwa nawaangalia wao maana huwa hawaharibu na sanaa kwao ipo kwenye damu yaani kama kipaji kipaji hasa!!
 Hakuna ama akitokea hawezi kuwa kama yeye!!
 Pumzika kwa amani mpendwa!!

 Alikweza kuwainua watoto wengi na huyu mmojawapo!!
Atazikwa jumanne katika makaburi ya kinondoni!!
Share:

2 Unasemaje..??:

MICHEZO MBALIMBALI said...

Amekwenda so hatuna budi nasi kujiandaa na safari hii!!

Anonymous said...

mENGI YATAONGEWA AMA YANAONGEWA ILA JAMAA ALIKUWA JEMBE HASA!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita