Call / WhatsApp +255673378129

May 5, 2012

TULIKUPENDA ILA MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI

Nipo hapa kuwataarifu habari ya msiba wa baba yetu mpendwa MR ESMAILY OMARY HANYA wa magomeni mapipa mtaa Idrisa no.27.
Napenda kunukuu maneno ya mwenyewe MUSTAPHA ESMAILY O.HANYA kwa wadau wake wa blog hii "Muda mwingi sikuwa hewani kwasababu nilikuwa namuuguza baba yangu ambaye kwa bahati mbaya jana ametutoka na mazishi yanakuwa leo saa kumi jioni magomeni mapipa mtaa uweje no.47."
Kwa niaba ya Mustapha Esmaily Hanya.
Naitwa N.Salmin
Share:

2 Unasemaje..??:

Michael said...

Pole sana mkuu,nilipiga simu nikapewa taarifa ya dada aliyepokea simu ya ofisi kuwa ulikuwa unamuuguza mzee wako. Umefanya sehemu yako kama binadamu na tena kwa mapenzi mema ya kutaka baba yako apone,LAKINI MUNGU ALIPENDA AMCHUKUE KWA WAKATI HUU. Tunaamini kuwa kila kifo kinapomfika mwanadamu ni wakati wake ambao Mwenyezi Mungu alimpangia toka siku alipoina dunia.,hivyo na kwa kuwa ni Mapenzi yake,hakuna mwanadamu awezaye kuyazuia. Iliyobaki ni kumshukuru Mungu kwa kumpa nafasi ya kuwepo duniani kwa muda alompangia,na tumshukuru kwa kila jambo. MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. A'min. Michael-YOMBO ABIOLA.

Mustapha MaDish said...

Kaka ahsante sana na nilipata taarifa zako ila ndo hivyo nikawa bize na mzee!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita