Call / WhatsApp +255673378129

Jun 21, 2012

DSTV KWENYE RECEIVER IMEKUFA!!


 Hii ni Receiver
Zamani ilikuwa unaweza ukanunua Receiver yeyote ambayo inasoma card then unaenda DSTV wanakuuzia smart card kisha wanalink baada ya hapo unakuwa mteja bila kununua Decoder hii ilikuwa inamfanya mteja kuweza kupata Channels za DSTV na zile za bure kama Local kiasi kwamba hata usipolipia DSTV utaendelea kuona zile za bure!!
Lakini huduma hii kwa sasa wamesitisha ili kupata huduma za DSTV ni lazima upate Decoder za DSTV!!
Hii inakuwa huduma ya pili kufungwa ya kwanza ikiwa ile ya kupata DSTV kwa kutumia C BAND na wale wenye Decoder za zamani kwa sasa pia hazifanyi kazi
 Decoder hii ya zamani

 Hii nayo ya zamani lakini unapata DSTV

 Zifuatazo ndizo mpya single view Decoder:







Share:

8 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kwa mfano nimeweka DSTV yangu muda mrefu bila kulipia siku nikija lipia nachajiwa zaidi?

Anonymous said...

Nasikia kuna offer ni bei gani kwa decoder tupu pia nataka kujua hivi ni deccoder gani nzuri na bei zake je!??
Nisaidie hili kaka mie pia nimekumbwa na kufungiwa ila nilikuwa sielewi!

Anonymous said...

Vipi kwa wenye madish ya kawaida ukigeuzia upande wa magharibi unaweza kunasa chnl? Kama ndiyo ni zipi na ktk satellite ipi utapata chnl nzuri.? Samhn swali halihusu DSTV, Lakini nisaidie kunielewesha.

Anonymous said...

Nahitaji kufunga dstv ila ni nje ya dsm kidogo vipi itakamata!!??

Mustapha MaDish said...

Kwa wote wenye maswali ambayo yana haraka unaweza hata ukanitext kwenye simu yangu!!!

Mustapha MaDish said...

Dstv wherever kwa Tanzania inakamata ijapokuwa hata nje ya Tanzania kwa yule mwenye kuuliza je kama ni nje ya Dar!!
Dstv ukiweka muda mrefu bila kulipia hakuna kulipa zaidi ya ile package utakayoichagua!!
Offer nadhani umeshajua bei!!
Sasa sijui hilo dish ni KU au C BAND so unaweza check nami kwa maelezo zaidi!!

Anonymous said...

Dish la C band nikiligeuzia upande wa magharibi nitapata channel gani?

Anonymous said...

Nataka hii ntaipataje?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita