Call / WhatsApp +255673378129

Jul 20, 2012

Dish yako inasumbua!!??


 
Dish c Antenna za tube ukasema ikileta mushkeri ushike bomba na kuzungusha!!
Dish inahitaji ufundi na mafundi wake kama sisi!!
Swali je dish yako inasumbua!!??
Kama kupoteza signal!
Picha kukata kata!
Unataka kuhama!
Umenunua uliponunua lakini huna mafundi wa kukufunga!
Na mengineyo kama hayo kwa msaada kiufundi zaidi unaweza wasiliana nasi:
Iwe unatatizo nyumbani kwako,Hotelini kwa wale wamiliki hotel,iwe bar,kwenye lodge,kwa office n.k.
Huduma ni zaidi ya malipo ulipayo!!
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mi nataka kufunga arabsat unafunga bei gani kaka!!?

Anonymous said...

Nahitaji kufunga Arabsat cost inakuwaje ikiwa kila kitu kwangu na cost inakuwaje ikiwa kila kitu kwako!!
Na inachukua muda gani kufungwa?
Nipo maeneo ya msasani!

Anonymous said...

Kaka nasikia kuna dongo hii unaijua!?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita