Call / WhatsApp +255673378129

Jul 29, 2012

INSTALLATIONS YA TV ZAIDI YA 1!!

Hakuna sababu ya kufunga Dish zaidi ya moja ya aina moja kwa nyumba moja kwasababu tu una TV zaidi ya moja na unahitaji channels zipatikane kwa TV zote!
Hii inatumika kama kwenye Hotel au Lodge lakini pia inaweza ikatumika hata maofisini ama hata nyumba binafsi!!
Ambacho unapaswa kufanya ni kujua channel gani unataka na je ni za bure ama za kulipia kisha unapata mchanganua kutokana na matakwa yako na utakapoafiki kazi inaanza ilihali unalolikusudia ndilo utakalo liona ontime!!
Huduma hii inawezaekana kwa channel aina zote za bure na kulipia!!
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hivi hakuna dstv ya magumashi!?

Anonymous said...

Vipi kwa huku zanzibar unaweza ukatoa huduma,tuna fundi dish mmoja anatulingia sana mpaka umlambe miguu sijui!
Lini unakuja huku nikuonganishe na wengine!

Anonymous said...

Kuna channel za bure za bei rahisi zaidi ni bei gani?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita