Call / WhatsApp +255673378129

Mar 26, 2012

WADAU SAMAHANI...

Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu na umuhimu wa hii kitu kwenu tumeshindwa kuimaliza kurekebisha hii blog on time hivyo chochote ambacho mtakiona kipo tofauti na hii blog ni katika jitihada za kuboresha na soon itakuwa vizuri zaidi katika muonekano mpya na bora zaidi.
Unaweza kushiriki nasi kwa chochote ambacho unadhani tunaweza kufanya pamoja kupitia hii blog na mengineyo pia kama unahitaji huduma  yeyote katika kipindi hiki waweza wasiliana na muhusika kama si wahusika kwa njia zifuatazo: Kwa no.+255 659161111
Kwa email:mustaphamadish@gmail.com
Popote ulipo tupo nawe.
Ahsante n Karibu sana.
Share:

Mar 21, 2012

PATA KILICHO BORA!!

Wengi wanashida ya kupata Installer wenye uwezo na huduma bora!!
Hii ndo solution yenu!!
Kama wewe ni mmiliki wa Hotel ama unataka kujenga Hotel ama zile nyumba za wenyeji na hujui wapi utapata mafundi wenye uzoefu na kutoa ushauri kabla ya kufungiwa Channel unazotaka na kwa wakati!!
Huku bei ikiwa nafuu ambayo utaimudu kulipa huku huduma ikiwa ni ya kiwango cha kimataifa!!
Tunatoa huduma kisasa na kwa wakati tukizingatia ubora na matakwa ya mteja!!
Kwa maelezo zaidi unaweza wasiliana nasi kwa:
+255 732 575 718/716 899 155
mminstallers@ymail.com
Share:

Mar 17, 2012

FUFUA DISH LAKO LEO!!!

Aliyebahatika kufufua Dish lake!!
Nimegudua kuna Dish nyingi katika nyumba nyingi ambazo hazifanyi kazi zimekaa tu kama uchafu ama urembo!!
yanini kukaa na kitu kisicho na manufaa!!??

Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita