Call / WhatsApp +255673378129

May 19, 2012

NITANUNUA VING'AMUZI VINGAPI!!??

Tarehe 31.12.2012 saa 23:59 itakuwa mwisho wa Local channel kupitia c band na Antenna pia na ili upate Local itakulazimu ununue king'amuzi ama ving'amuzi kutokana na channel za Tanzania utakazo!!
Mawazo yangu binafsi kulikuwa na mapungufu mengi sana kwenye mchakato huu na mwisho wa siku inaonyesha dhahili wakuu walikurupuka hawakufikiri kwa kina kabla ya kuweka mwisho mwaka huu!!
Tuangalie hali za watanzania wengi wao ni duni then tuangalie bei za ving'amuzi na channels zinazopatikana kwa kila king'amuzi,kuna kampuni moja tu ambayo binafsi naipa pongezi za kutosha EASY TV unapata Local channels karibu zote na bei yao ni 9000 tu kwa mwezi lakini zooote tupa kule!!
Nawaangalia wale wa vijijini ina maana hawastahili tunachokipata!!?? maana ilikuwa mtu anajipinda anafunga Dish ya Local anasahau,haina malipo ya mwezi wala nini zaidi ni kurekebisha tu litakaposumbua!!
Au ndo wazo la mtu mmoja tu alienda nje ya nchi akaona watu wapo UP TO DATE then akaja Tanzania kuwashawishi viongozi wakalipitisha,je mnajua hao ambao wanakwenda na wakati walianzia wapi!!??
Wananchi wengi watakosa haki yao ya msingi ya kupata habari kwa kukosa pesa ya kulipia ili aone/asikie hiyo taarifa ya habari.
IJAPOKUWA HATA NKISEMA WALIOLIPITISHA LIMEPITA,HAKUNA JINSI ILA UJUMBE SI MBAYA UKAWAFIKIA NA MKAONA MLIVYOVURUNDA HAPA!!
Ina meengi sana ila wacha niishie hapa nisije nikanyimwa hata hizo tenda maofisini mwao maana ndo hao hao wateja zangu!
Share:

May 5, 2012

TULIKUPENDA ILA MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI

Nipo hapa kuwataarifu habari ya msiba wa baba yetu mpendwa MR ESMAILY OMARY HANYA wa magomeni mapipa mtaa Idrisa no.27.
Napenda kunukuu maneno ya mwenyewe MUSTAPHA ESMAILY O.HANYA kwa wadau wake wa blog hii "Muda mwingi sikuwa hewani kwasababu nilikuwa namuuguza baba yangu ambaye kwa bahati mbaya jana ametutoka na mazishi yanakuwa leo saa kumi jioni magomeni mapipa mtaa uweje no.47."
Kwa niaba ya Mustapha Esmaily Hanya.
Naitwa N.Salmin
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita