Call / WhatsApp +255673378129

Jul 29, 2012

INSTALLATIONS YA TV ZAIDI YA 1!!

Hakuna sababu ya kufunga Dish zaidi ya moja ya aina moja kwa nyumba moja kwasababu tu una TV zaidi ya moja na unahitaji channels zipatikane kwa TV zote!
Hii inatumika kama kwenye Hotel au Lodge lakini pia inaweza ikatumika hata maofisini ama hata nyumba binafsi!!
Ambacho unapaswa kufanya ni kujua channel gani unataka na je ni za bure ama za kulipia kisha unapata mchanganua kutokana na matakwa yako na utakapoafiki kazi inaanza ilihali unalolikusudia ndilo utakalo liona ontime!!
Huduma hii inawezaekana kwa channel aina zote za bure na kulipia!!
Share:

Jul 28, 2012

CHANNELS ZA BURE!!


 Wengi wanapenda kupata channel ambazo hazina malipo ya mwezi,ambazo ukifunga inakuwa ndo umefunga labda iharibike dish na ahitajike fundi afanye ufundi wake!!
Channels zipo nyingi sana ambazo hazina malipo ya mwezi ila ambacho huwezi zile channels zilizo hotest za kulipia ukazipata bure ijapokuwa baadhi zipo bureee!!
Kupitia Dish ndigi kwa kubwa kuna channels nyingi za bure ila yategemea na wewe mapenzi yako wapendelea channels za namna gani!!
Unaweza kuuliza wala usisite na ukapata ufafanuzi ulio sahihi kabla ya kufunga channels utakazo!!
Channels hizo unaweza ukafunga nyumbani,Hotelini,Ofisini,n.k!!
+255 716 899 155
Share:

Jul 20, 2012

Dish yako inasumbua!!??


 
Dish c Antenna za tube ukasema ikileta mushkeri ushike bomba na kuzungusha!!
Dish inahitaji ufundi na mafundi wake kama sisi!!
Swali je dish yako inasumbua!!??
Kama kupoteza signal!
Picha kukata kata!
Unataka kuhama!
Umenunua uliponunua lakini huna mafundi wa kukufunga!
Na mengineyo kama hayo kwa msaada kiufundi zaidi unaweza wasiliana nasi:
Iwe unatatizo nyumbani kwako,Hotelini kwa wale wamiliki hotel,iwe bar,kwenye lodge,kwa office n.k.
Huduma ni zaidi ya malipo ulipayo!!
Share:

Jul 1, 2012

DSTV OFFER!!!!149,000/=


Kwa Tsha 149,000/= unapata vifaa pamoja na Installations ya single view!!
Then unachagua package uipendayo na kuilipia kwa utaratibu uliowekwa kama ifuatavyo:-
Access $10 - Channels 40. Kama Tsh 16,000.Kwa offer unalipia 4 miezi.
Family $20 - Channels 55. Kama Tsh 32,000.Kwa offer unalipia 3 miezi.
Compact $30 - Channels 60. Kama Tsh 48,000.Kwa offer unalipia 2 miezi.
Compact plus $50 - Channels 70. Kama Tsh 80,000.Utakavyo.
Premiur $80 - Channels 100. Kama Tsh 128,000.Utakavyo.
Unaweza ukapanda na kushuka kutokana na chaguo lako ila kwa offer ni lazima ilipwe kwa utaratibu huu!
Pata huduma fasta na inakufuata mpaka ulipo!!
Piga +255 789476655
Offer ni mpaka kuisha kwa bidhaa!!
KUPATA BEI MPYA YA VIFURUSHI Bofya Hapa

Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita