Call / WhatsApp +255673378129

Jun 29, 2013

TRANSIT MOTEL TENA!


TRANSIT MOTEL AIRPORT 

Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari!
Kazi niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n hata anapotoa pesa yake anajua inatoka kwa mahitaji gani!
Binafsi huwa najisikia furaha kuona namfanyia kazi mtu na mwisho wa siku yeye anapata kile alichokitegemea ama zaidi,kicheko chake mwanya mwengine kwangu!
Nikachukua vyangu na kuaga huku nikikaribishwa tena wakati mwengine!

TRANSIT MOTEL UKONGA
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita