Call / WhatsApp +255673378129

Jul 14, 2013

CHANNEL ZA TANZANIA ZINAKAZIA SWAUMU!

 Hapa nawatafuta Watanzania
Yap ni siku nyengine tena tunaamshwa vema na muumba nikiwa na afya njema na nafanya yangu kama kawa!
Nimeamkia sehemu moja wanapaita sinza,hapa nilitakiwa kufanya channel za Local zionekane vema na ndo nilichofanya ingawaje kwa channel za Tanzania TBC1 na STAR TV zinasumbua kwenye futi sita,angalau STAR TV wakati mwengine inatulia,ila hii kwenye futi nane haipo,kama utatumia dish futi nane channel zote za Tanzania zitaonyesha vema

 Hapa naingiza frequency
Nikafanya ya kufanya kama ilivyo ada yangu na mwisho wa siku nikaacha watanzania wanatawala kama kawa ingawaje TBC iligoma kabisa ila STARTV ilikuwepo imejaa tele!
Pia kwenye futi 6 kuna CITIZEN pia.

Share:

4 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kazi nzuri kijana!

Anonymous said...

Swaumu ipande kweli kaka!
ila hapo swala zinakupita ama unazikumbuka!
Nancy Salmin

Anonymous said...

Kaka kuna kifaa wameniibia kwenye dish kwa juu. Walichomoa waya wakafungua wakaondoka nacho. Sijui kitaalamu kinaitwaje kiko kama tochi kinelekea dish. Nitakipataje?

Mustapha MaDish said...

Unamaanisha LNB!!??
Vinapatikana!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita