Call / WhatsApp +255673378129

Jul 20, 2013

EMANUEL TV IMENIPELEKA KUNDUCHI 170



Jumapili tulivu hali ya hewa ikiwa haieleweki mara jua mara kiwingu na manyunyu yakichukua nafasi!
Panaitwa Kunduchi ila wenyeji wanapaita Kunduchi 170,hapa ilikuwa wanaona DSTV awali ila kutokana na maamuzi yao wakataka DSTV igeuke na kuwa Emanuel tv nami nikaona hakuna ubaya ila tu niliwaeleza ya kuwa ili waone Emanuel tv lazima wawe na Receiver isipokuwa dish zinaingiliana!
Uzuri Receiver walikuwa nayo hivyo haikuwa issue kazi ikaanza kipindi cha kufanya fanya setting kimefika tatizo likawa remote,receiver bana haikuwa na remote dah sasa itakuwaje!?
Ikanilazimu nimuagize mtu aniletee receiver ili nifanye setting zangu kipindi ambacho remote ya receiver husika ikitafutwa!
Baada ya muda mambo yakawa mambo imenuel tv ikaamia Kunduchi!!

Hapa ikiwa badi DSTV

 Hapa ndio bomoa bomoa!
Hapa Emanuel tv imepatikana!

Ndo hivyo tena!
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Vipi mikoani unaweza kuja kufanya kazi au wewe unahudumia watu wa dar tu?
Mathiac maswa!

Anonymous said...

mimi nna kila kitu kasoro kile kichwa cha kwenye dish tu,je kinapatkana bei gn ili niweze kupata hz za emanuel?

Mustapha MaDish said...

Natoa huduma popote Tanzania n hata nje ya Tanzania ikilazimika!!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita