Call / WhatsApp +255673378129

Jul 24, 2013

MKOA PWANI WANAPAITA MKULANGA NILIHITAJIKA!!


Hapa banaa ilikuwa nawezaje kufunga dish na nikapeleka tv mbili vyumba tofauti na kila tv inajitegemea kubadili channel aipendayo muhusika anayeangalia tv hiyo!
Mbona si kazi kama mawazo ya wengine yalivy!
Mahitaji Dish husika kwa kuwa waarabu ndio waliohitajika ni c band yaani dish inayoanzia ft6 na kuendelea,lnb c band ambayo ya njia mbili,receiver mbili,cable then niachiwe uwanja nifanye maujanja yangu!!!!
Kufumba na kufumbua Oman tv ikaamia mkulanga!!











Share:

4 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kaka unatisha. Ndiyo sababu hujawah kunijibu e mail yangu. Kumbe upo bize sana. Kazi kazi kaka . Hongera.

Mustapha MaDish said...

Pa1 sana!!

Anonymous said...

mikoani unakuja lini kama mi nipo Arusha ila pia nna guest yng Moshi nahitaji huduma zako nimekutumia email pia

Anonymous said...

Nataka kujua ubora wa Dish ya nyavu na bati na bei zake!?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita