Call / WhatsApp +255673378129

Jul 30, 2013

Op.MWALIMU JK NYERERE P.SCHOOL

Maeneo ya Mbezi Beach maeneo maeneo hivi yaliyo tulivu sana kwa lugha nyepesi kwa kishua!!
Kuna shule ijulikanayo kama MWALIMU JK NYERERE,sasa mimi nilihitajika kwenye nyumba ambayo inatazamana na hii shule,hapa kilichotakiwa mimi nifanye ni kufunga DSTV EXTRA VIEW....!!
Kama kawa kama dawa nikapewa nafasi nami nikafanya yangu ila hapa ilinichukua siku mbili kutokana na baadhi ya vifaa kutokupatikana kwa siku moja!!
Kwa wale wasiojua DSTV EXTRA VIEW hii ni huduma inayokupa fulsa ya wewe mteja kuview channel mbili tofauti kwa wakati mmoja yaani uwe na tv mbili kila tv inajitegemea kwakuwa utapata decoder mbili ambapo kila decoder inajitegea isipokuwa Dish inakuwa moja na account moja pia!!
Kiufundi zaidi +255 659 161 111
Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Naweza funga dish gani nikapata channel zote za bongo?

Mustapha MaDish said...

Hakuna Dish ambayo unaweza kufunga na ukapata channel zote za Bongo!
Isipokuwa unaweza kufunga c band na ukapata baadhi ya channel za Tanzania zilizo kwenye satellite!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita