Call / WhatsApp +255673378129

Aug 8, 2013

ALJAZEERA SPORTS

Maswali yamekuwa mengi mkiniuliza mnawezaje kupata Decoder za Aljazeera sports ila jibu huwa nalitoa moja tu kama ilivyo kwa Abudhab Sport pale awali...!!
Hii kampuni haina wakala hapa bongo na kama yupo mi simfahamu maana kila ninyemfungia anakuwa anaagiza mwenyewe ama nafanya muunganiko then nawaacha wakubaliane jinsi ya kuagiza kutoka kwa waarabu!!
Hii pia mwendo ule ule jamaa katoka nayo mwenyewe mimi nilichofanya kutafuta dish inayofaa na kuleta ufundi wangu na mwisho wa siku yakawa yaliyokuwa!!

Hapa naangalia cha kuchukua ili nisababishe!

Hapa nafunga stend baada ya kudril!

Hapa nafunga Dish kwenye stend!

Hapa tayari imekaa still!

 Hapa tayari kwa kuanza kufanya setting!

 Hii ndio Decoder ya Aljazeera Sports

 Hapa vipi!!??
Share:

6 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kwangu sipati za MBC zote hii inakuwaje!!??

Anonymous said...

Nahitaji Decoder ntapata wapi mkuu!?

Anonymous said...

Tatizo langu sipati zile za HD kaka utanisaidiaje?

Anonymous said...

Mbona kile kichwa cha kupata aljazeera sport ghali sana!?

Anonymous said...

HD kwangu sizipati nifanyaje?

Unknown said...

mustapha nipe namna ya kupata mawasiliano abhudhabi na jinsi ya kufunga maana nasikia hawanaga agent tz hii

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita