Call / WhatsApp +255673378129

Aug 16, 2013

HUYU KATI YA WENGI WALIONIPATA KUPITIA MTANDAO!

+255789476655
Hapa ilikuwa hakuna kitu kinaitwa signal,na sababu kubwa inayofanya natembelea vijumba ama office za watu ikiwa Dish imeshafungwa signal kupotea mi fasta nakurejeshea!!!!
Hapa ni Mwenge,mitaa flani hivi imetuliaaa!!

 Kuonekana imooo!!

 Tayari kwa kuanza kazi

Unga unga ya Mustapha MaDish

 Signal zimeanza kuingia

 Single solution lnb

 Hapa Dish signal za kutosha

 Nikarejesha ndani kila kitu safii!!!
Ila hapa ilinichukua siku mbili coz siku ya kwanza kuangalia kazi na kama kuna cha kuhitajika then nilipokuja kama dish namjua aliyelitengeneza,maelezo niliyotoa ndicho mteja alichoona! 

Share:

2 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Umefanya kitu kizuri kutengeneza hii blog wewe ni kati ya vijana wachache wanaotumia vema mtandao,hata mimi nimekupata kupitia blog yako.
Sam-changanyikeni Dar.

Didy said...

Aminia kaka mkubwa pia mawasiliano yako ni muhimu sana kuyaweka hapa.

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita