Call / WhatsApp +255673378129

Nov 1, 2013

TING WAMEHAMA SATELLITE


Niliwahi kuwaambia baadhi ya watu ila ikawa kama hawanielewi hivi baada ya kukataa kuwafungia local channels kupitia Dish dogo baada kugundua kama hizo local uhai wake mdogo,kwa maana satellite waliyokuwa wamewekwa na Ting kwa lugha nyepesi ilikuwa ni mali ya Ting!!
Awali Ting walikuwa Eutelsat 36A degree 36.0E,ambapo walikuwa sawa na Dstv wale wadau watakuwa wanakumbuka kwakuwa ilikuwa unaweza ukatumia Dish moja kwa kupata Ting na Dstv!!
Sasa wamehamia Amos 5 degree 17.0E wala sio mbali saaana na ilipokuwa awali!
Kama wewe ni fundi haya!
Satellite: Amos 5 - 17 degrees East
Frequency: 12417Mhz
Symbol Rate: 30000Msps
Modulation: 8 PSK
FEC : 2/3
Pilots On
Share:

14 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Nashukuru sana sasa nafurahia maisha!!

Anonymous said...

Upo juu sana kaka mkuu mungu akubariki kwamaana nilikuwna jamaa yangu alikuwa mchoyo wa maujanja haya lakini sasa nayapata bure kabisa!

Unknown said...

Habari kaka!
Nahitaji msaada, decoda yanngu ni Astrovox premier, nilipofungiwa mara ya kwanza ilikuwa inafanya kazi vizuri, niliona channels nyingi hasa za hapa nyumbani. kwa sasa naona imeacha kuonyesha channels zote. nimejaribu kureset lakini wapi.
Msaada

Unknown said...

eti kuna mautundu gani kaka maana kuna jamaa anasema anafungua kwa mpeg4 dish ft6 je unafikili ni satlite gani mkuu?

Anonymous said...

mbona zimekata?
Ama wamebadili frequency tena?

Anonymous said...

Nimeona siku 2 tu kaka kwa hyo frequency je kuna mabadiliko yeyote?

Unknown said...

naomba nijue ntapata wap frequency za agape televion ......npo bukoba nahitaji ku search mannual kwny decoder yangu tafadhari

Unknown said...

Naitwa Mpely benn mtumiaji WA Ting. Watoto wamerock king'amuzi nashindwa kuona je utanisaidiaje?

Unknown said...

Naomba unisaidie watoto wamerock decoder nisaidie nifungue

Unknown said...

Naomba unisaidie king'amuzi changu cha Ting kimerock nifanyeje ili nifungue?

Unknown said...

Wadau, mbona kimya

Unknown said...

Nashindwa kusearch channel kwenye decorder yangu ya TING, hamna channel hata moja

Anonymous said...

2016 En Cok Satan Kitaplar En Güzel Yeni Çıkan Kitaplar

Unknown said...

Wadau frequency mpya za ting naomba kwa mwenye azo

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita