Call / WhatsApp +255673378129

Oct 1, 2013

TRENET KWENYE DISH NAYO!!

Digital ndo habari ya sasa!
Sasa ile channel ya dini ya Trenet tv nayo kwenye Dish tena ikiwa bure!
Unaipata kutumia Dish ndogo,satellite husika Intelsat 17 nyuzi 66E,kama muelewa wa masuala ya madish tofauti nyuzi mbili na Emanuel tv kwenye dish ya KU!!!
Kwa mtazamo wangu wanaweza wakaja kuhama Satellite baadae maana hapa walipokaa wapo wenyewe tu kwa Tanzania hivyo wanaweza wakahamia zilipo nyengine ili kuwapa urahisi wapenzi wa channel hiyo ila kama wataendelea kuka hapo hapo inaweza ikawa mtihani kidogo kwa wadau!!
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kama wapo satellite yao tu,hawatapata wafuatiliaji wengi ama itawapa sana wakati mgumu wapenzi wa hiyo channel ama nae anajiandaa kuleta king'amuzi?

Anonymous said...

Je kuna na channel nyngne hapo ama unapata hyo tu kaka!?

Anonymous said...

Hii kwenye Dish ya fut 6 unaweza kuipata!?

Mustapha MaDish said...

Wanapatikana pia kwenye Eutelsat 36A zilipo Local kwenye Dish ndogo!

Mustapha MaDish said...

Yap unaipata kwa kutumia KU lnb!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita