Call / WhatsApp +255673378129

Nov 29, 2013

KUHUSU AZAM TV

Azam tv ni kampuni mpya katika ukanda huu wa Digital,tunaanza rasmi kuuza tarehe 6/12/2013.
Inajumuisha Dish ndogo,lnb,Cable mt20,Decoder na air time mwezi mmoja!
Kumefanyika mabadiliko kidogo ya bei awali ilikuwa 85000/= full installations,kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo imelazimika kubadilisha bei ambapo sasa inauzwa 135000/= ikiwa vifaa na ufundi.
Na unalipia malipo ya mwezi hakuna mabadiliko ni ile ile 12500/= kwa mwezi.

Decoder ya Azamtv

Dish ya Azam tv.
Kwa Mawasiliano zaidi tupo:
 Morogoro rd,Magomeni Mapipa
Office:+255789476655
Personal:+255659161111/714973797
Email:mustaphamadish@gmail.com.
TUNAUZA | TUNAFUNGA | DISH AINA ZOTE.
Share:

11 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mi nataka hii ntakuja hapo Magomeni!

Mustapha MaDish said...

Karibu sana!

Anonymous said...

Azam Tv ina channel ngampi kiujumla? Na je Star Tv inapatikana?

Mustapha MaDish said...

Ina jumla channels 52 ila zitaendelea kuongezeka na star tv hakuna ila inatarajiwa kuwepo!

Anonymous said...

Azam tv ina package ngapi kwa channel zake( au hiyo 12500 ni kwa channel zote?).
Thanks.

Mustapha MaDish said...

AZAM TV ina Package moja tu,ambayo ukilipa 12500 tu unapata channels zote!

Unknown said...

Je, Emannuel tv inapatikana katika kung'amuzi cha Azam?

Unknown said...

Emanuel TV inapatikana katika King'amuzi cha Azam?

Unknown said...

Je, Emannuel tv inapatikana katika kung'amuzi cha Azam?

Mustapha MaDish said...

Hapana Emanuel tv haipo kwenye Azam tv

Anonymous said...

Nahitaji hii huduma yako ila tatizo mi nipo mlandizi nitaweza fanikiwa?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita