Call / WhatsApp +255673378129

Nov 2, 2013

HOTEL INSTALLATIONS

Kwanza ujue unachohitaji!
Channel gani na ngapi,je za kulipia ama za bure,vinginevyo iwe mchanganyiko za bure na kulipia!
Vyote ukishindwa utapata nafasi ya kupatiwa ushauri kwa zile channel pendwa na maelewano yatakapopita kazi ndipo inaanza kama furaha itawale kwako!
Ili uimara upatikane!
 Macho hayana pazia!
Matunda yangu akiwajibika!


 Hotel inapendeza na Flat Screen!
 ...........!!
Receivers

 Vimehusika!

 Vihusishi!

 Hotel tayari kwa kupokea wateja!
Installations hii inaweza kufanyika katika Lodge,Hotel na Guest House!
Kila tv inajitegemea katika kubadili channel bila kumbugudhi mwengine!
+255789476655/659161111

Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

ntakutafuta kaka office wapi?

Anonymous said...

Awali nilipata gharama kutoa mafundi Nairobi ili kuja Tanzania kunifungia Madish kwenye Hotel yangu,sikuwa najua kama Tanzania kuna wenye Experience ya kutosha kama wewe bwana mtaalamu,nipo nje ya Tanzania isipokuwa ntakaporudi tu huko ntakutafuta

Anonymous said...

Wewe ni solution langu ahsante kwa kazi nzuri!

Anonymous said...

Jamiiforum ndo nimepata link yako!
Nimekufuatilia naamini wewe ndo wa kutatua tatizo langu ntakucheck hivi karibuni ila hongera kwa kujua kuutumia mtandao!

Anonymous said...

installation kama hii inaweza fanyika nyumbani?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita