Call / WhatsApp +255673378129

Dec 20, 2013

BAADHI YA CARD ZA ALJAZEERA ZIMEFAIL!

Kuna baadhi ya wateja wa Aljazeera sports wanalia sasa kama si kuhaha na kudhani pengine ndo imeshakula kwao maana wanakosa jibu la uhakika kuhusu card zao! Ukweli ni kwamba kuna baadhi ya card zimefail na tatizo ni la kwao wenyewe na kwa mujibu wao wanalifanyia kazi! Je wewe ni miongoni mwao ama!!?
Share:

5 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hakika tatizo hilo hata mimi limenifika,nashukuru kwa taarifa kaka,endelea kutupa info!

Anonymous said...

Mimi yangu ipo vizuri!
Ila nilisikia ni fitna na DSTV kwakuwa ndio wapinzani wao wakuu eti kweli kaka!

Anonymous said...

Dstv wameshafanya yao na zitakata zote,kwani huo ndio mwanzo la msingi kujipanga wadau!

Anonymous said...

Eti kaka kwenye ft 8 nasikia zinapatikana je ni kweli!?

Anonymous said...

hizo decoda za aljazeera zinapatkana wapi na bei gani malipo kwa mwezi?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita