Call / WhatsApp +255673378129

Dec 13, 2013

JE NI NCHI NGAPI AMBAZO UNAWEZA KUONA AZAM TV!?

 Niliwahi kupokea simu siku za hivi karibuni kutoka Nairobi,swali likiwa je kama atanunua Azam tv inaweza ikakamata! Jibu la swali hilo ama linalofanana na hilo ni hili kwenye hii picha hapa chini!

 Angalia kwa umakini nchi ambazo ukifunga Azam tv inakamata kama upo Dar es salaam!
Kwa maelezo zaidi usisite: +255789476655/714 973797/659161111            


Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kama ni hivyo sawa kaka asante kwa ufafanuzi,nitakuja kununua

Anonymous said...

Hapo nafikaje?

Anonymous said...

sasa kama huyu mengi anchobana ni nini wakati anapata fulsa ya kujitangaza zaidi nje ya tanzania,aweke na dtv ni ya ukweli mnoooo

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita