Call / WhatsApp +255673378129

Dec 5, 2013

MUSTAPHA MADISH CREW TUKIFANYA YETU

Matakwa ya mteja ndo wajibu wetu ukizingatia mteja kwetu mfalme na ndiye anayetufanya sisi tuendelee kuwepo mtandaoni na maisha kuendelea!

 C babd ft6

 Mwanaume kazini

 Mustapha MaDish

 Angalau sura inaonekana

 Herman Akifanya yake

Alihitaji kuona Channel za kiarabu ya msingi zaidi kwake Oman tv ila zisiwe za kulipia!
Kwakuwa ndio kazi yetu tukatekeleza la mteja!
Kwa kutumia c babd ft 6,Lnb KU,Receiver ya kawaida tu,tukatumia taaluma kumtekelezea mteja wetu kile alichokihitaji!
Tukaweka Oman tv na channels nyengine ambazo ukijumlisha unapata idadi ya channel 100!
zote zikiwa bure pasipo malipo!
Nawe wahitaji huduma zetu?
Yote yanayohusu Dish Antenna,ama Ving'amuzi.
+255714 973797/789476655/659161111
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

kuna mtu aliniambia unapata local kwa dish ndogo vipi inawezekana kaka!?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita