Call / WhatsApp +255673378129

Jun 30, 2013

CNN!! ZAIDI YA CHANNEL 50 BURE!!

Matakwa ya mteja ndo wajibu wangu kila siku maana nipo kwa ajili ya kukufanya wewe upate furaha kwa unachokihitaji!!
Alinipigia simu na shida yake ilikuwa kupata CNN na BBC free kama inawezekana maana yeye hataki mambo ya kulipia lipia!
Nikamwambia inawezekana tena zaidi ya hizo anazozitaka yeye!
Nikatumia Dish ft 6 na LNB KU pale muda c muda channels zaidi ya 50 jamaa akabaki anacheka cheka tu!
Nikakinga nikakunja na kuachapa mwendo!
Maeneo ya msasani pale haya waungwana x nyngne tena!
Share:

Jun 29, 2013

TRANSIT MOTEL TENA!


TRANSIT MOTEL AIRPORT 

Nilianzia pale uwanja wa ndege na kisha nikaenda fanya ya kupendeza palee njiapanda ya sitakishari!
Kazi niifanyayo ndo inapelekea mwengine akosolewe maana huwa lazima mteja awe nae kama fundi penye tatizo namsomesha mpaka anaelewa n hata anapotoa pesa yake anajua inatoka kwa mahitaji gani!
Binafsi huwa najisikia furaha kuona namfanyia kazi mtu na mwisho wa siku yeye anapata kile alichokitegemea ama zaidi,kicheko chake mwanya mwengine kwangu!
Nikachukua vyangu na kuaga huku nikikaribishwa tena wakati mwengine!

TRANSIT MOTEL UKONGA
Share:

Jun 28, 2013

ARABSAT IMENIPELEKA MWANDEGE!

 HAPA NATAFUTA WAARABU
Sikuwahi kufika wala kutarajia kufika kabla ila kwasababu wewe ndo wa kufanya niende popote hivyo sina pingamizi na najivunia kazi yangu maana faida ya pili kuijua Tanzania kwa vitendo!
Kwa wenyeji wanasema Mwandege ni nje kidogo mwa mkoa wa Dar,hivyo sina la kupinga zaidi ya kulichukua na kutembea nalo kama hivi!

 HAPA NAUNGA UNGA

UNGA UNGA INAENDELEA
Hapa nilitakiwa kuwahamisha waarabu walipo na kuwaleta hapa,jambo hilo kwangu halikuwa gumu kihivyo... nami nikafanya fanya yangu kwa kuunga unga Dish na nikawavuta waarabu wakajaa tele!
Baada ya hapo nikachukua vilivyo vyangu na kuchapa mwendo!
0714973797 kiufundi zaidi!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita