Call / WhatsApp +255673378129

Aug 22, 2013

TOKA KINYELEZI MPAKA K'KOO!!!

 Hivi ndivyo masaa yanavyokatika tukiwa tunawajibika kama ilivyoada ili mkono uende kinywani!
Kutoka Kinyelezi ilipokuwa Dish ya DSTV na kutakiwa ihamishiwe Kariakoo ili maisha yaendelee kama kawa watu wakila burudani zao wakiwa na tv tuu!!
 
Hapa tayari kwa kufunga Dish!
 
 Imeshika kwa ukuta!
 
 Imetokeza kwa bati

Hapa setting zikiendelea

 Hapa kitu mwake!
Ila katika site ambazo kama si ubunifu wa fundi itakuchukua muda mrefu ama kutokupata signal kabisa hii ni mojawapo site pasua ila kwakuwa ndo hivyo tena Mustapha MaDish nikadish dish hapo kisha nikachukua vyangu nikachapa mwendo kama kawaida!
Share:

Aug 16, 2013

HUYU KATI YA WENGI WALIONIPATA KUPITIA MTANDAO!

+255789476655
Hapa ilikuwa hakuna kitu kinaitwa signal,na sababu kubwa inayofanya natembelea vijumba ama office za watu ikiwa Dish imeshafungwa signal kupotea mi fasta nakurejeshea!!!!
Hapa ni Mwenge,mitaa flani hivi imetuliaaa!!

 Kuonekana imooo!!

 Tayari kwa kuanza kazi

Unga unga ya Mustapha MaDish

 Signal zimeanza kuingia

 Single solution lnb

 Hapa Dish signal za kutosha

 Nikarejesha ndani kila kitu safii!!!
Ila hapa ilinichukua siku mbili coz siku ya kwanza kuangalia kazi na kama kuna cha kuhitajika then nilipokuja kama dish namjua aliyelitengeneza,maelezo niliyotoa ndicho mteja alichoona! 

Share:

Aug 10, 2013

Karibu na ubarozi wa Ufaransa!

+255789476655
Muda ambao vijana wenzangu wanatumia mtandao kupiga soga na kupotoshana mi kwangu ipo tofauti sana tena sana maana kila kukicha naongeza idadi ya marafiki si kupiga piga soga zisizo na maana bali kufanya haya ya kupendeza na hapa nimefika kutokea mtandaoni umenisomaaa!!!!!














Share:

Aug 8, 2013

ALJAZEERA SPORTS

Maswali yamekuwa mengi mkiniuliza mnawezaje kupata Decoder za Aljazeera sports ila jibu huwa nalitoa moja tu kama ilivyo kwa Abudhab Sport pale awali...!!
Hii kampuni haina wakala hapa bongo na kama yupo mi simfahamu maana kila ninyemfungia anakuwa anaagiza mwenyewe ama nafanya muunganiko then nawaacha wakubaliane jinsi ya kuagiza kutoka kwa waarabu!!
Hii pia mwendo ule ule jamaa katoka nayo mwenyewe mimi nilichofanya kutafuta dish inayofaa na kuleta ufundi wangu na mwisho wa siku yakawa yaliyokuwa!!

Hapa naangalia cha kuchukua ili nisababishe!

Hapa nafunga stend baada ya kudril!

Hapa nafunga Dish kwenye stend!

Hapa tayari imekaa still!

 Hapa tayari kwa kuanza kufanya setting!

 Hii ndio Decoder ya Aljazeera Sports

 Hapa vipi!!??
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita