Call / WhatsApp +255673378129

Oct 23, 2013

AZAM TV

Mustapha MaDish  nikiwa Azam tv HQ
Niseme tu ukweli katika ujio wa ving'amuzi vyote Tanzania huu ni ujio tofauti sana,kwa maana kabla ya kuanza kuuza wadau wamekuwa na shauku ya kutaka kununua bila kujua nini kilichopo ila tu wanaamini itakuwa king'amuzi bora kuliko ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania ukiweka mbali wakongwe Dstv,sababu kubwa ikiwa ni mmiliki wa hii kampuni kwa kuwa muda mrefu katika biashara si ya ving'amuzi ila biashara nyengine na sifa yake kuu bidhaa bora kwa bei nafuu,hivyo imani ya watanzania ni kwamba unafuu unakuja!!
Swali je Azam tv ni bei rahisi kweli ama magumashi!!??
VIFAA NI TSH 135000/= BILA UFUNDI
Kujua vifurushi Bofya Hapa
Mustapha MaDish kwa site!

Hapa milele

 Mkataba

 Burudani kwa wote

 Sehemu sahihi ya wewe kuhudumiwa

 Mwendo ule ule

 Mustapha MaDish ameshafanya yake
Niseme tu ukweli katika ujio wa ving'amuzi vyote Tanzania huu ni ujio tofauti sana,kwa maana hawajaanza kuuza isipokuwa wadau wamekuwa na shauku ya kutaka kununua bila kujua nini kilichopo ila tu wanaamini itakuwa king'amuzi bora kuliko ving'amuzi vyote vilivyopo Tanzania ukiweka mbali wakongwe Dstv,sababu kubwa ikiwa ni mmiliki wa hii kampuni kwa kuwa muda mrefu katika biashara si ya ving'amuzi ila biashara nyengine na sifa yake kuu bidhaa bora kwa bei nafuu!!
Swali je Azam tv ni bei rahisi kweli ama magumashi!!??
Bei ni Tsh.135000/= Unapata Dish,Decoder.lnb,Cable 
hii inakuwa haina kufungiwa na kufungiwa ni tsh 30,000/=
Baada ya hapo unachagua vifurushi ili upate vifurushi Bofya Hapa

  Haya kazi ni kwako je ni rahisi ama ghari!!??
Ila mi nilichopenda kutumia Dish tofauti na baadhi ya ving'amuzi vyengine wanaotumia Antenna hii inamaanisha watakuwepo nchi nzima na baadhi ya nchi! 
Jibu la maswali yako yoote wasiliana nasi:-
Magomeni Mapipa 
 +255789476655/659161111/714973797.
Email:mustaphamadish@gmail.com

 linapotokea la kuchekesha
Share:

Oct 20, 2013

OFFICE INSTALLATIONS

+255789476655/659161111
Hapa ilitakiwa lifungwe Dish moja isipokuwa liende kwenye tv zipatazo nne,na kila mmoja awe anachange channel kupitia Remote yake kwa channel aipendayo bila kumghasi mwengine!
Kuna njia mbili:
1.Kuchagua Channel muhimu tu kama tunavyofanya kwenye Hotel.
2.Kufunga kila mmoja na Receiver/Decoder yake na burudani kama kawa.
Hapa walipendelea kila tv iwe na Decoder yake na walichohitaji ni Dstv tu,hivyo haikuwa issue mi nikafuata nilichopaswa kufanya,nikapiga a/c mbili extra view decoder nne na dish 1 ikawa pouwah!!





Dish na lnb ya njia nne

Flat screen na Extra view

Flat screen na Extra view
Hivyo nikafunga na Flat screen pamoja na Projector mambo yakawa kama nilivyotumwa!
Kazi safi,nzuri na ya kupendeza!
Share:

Oct 18, 2013

AZSKY

Leo nimeonelea niongelee kwa uchache kuhusu hii Receiver kutokana na ukweli kwamba naulizwa sana kuhusu hii kitu,wengine wanataka kujua ni kifaa gani na kazi yake,wengine wanataka kujua zinapatikana wapi,wengine wanataka kujua uhalali wake na wengine wanataka kujua uhakika wa hizi Receiver na nyengine zinazofanana na hizi!!
More info nawaletea soon!!!
Share:

Oct 4, 2013

CHANNEL ZA BURE!!!!!!

Kuna kitu watu wengi wanashindwa kuelewa ni kwanini Aljazeera na Abudhab malipo yao ni rahisi pengine tofauti na Dstv hivi!! Ukweli ni kwamba hawa jamaa wana channel chache sana na ni za sport tu isipokuwa Satellite ambayo wanatumia kuna channel nyingi za bure hivyo humpumbaza mteja na kuona wanachannel nyingi malipo yao kidogo!!
 Ambacho nataka kukwambia ukitumia Receiver ya kwaida na ukaelekeza Dish yako NILESAT unakamata channel kibao za bure!!
Nilesat ama kwa waliozoea ukiwaambia Aljazeera,unaweza ukakamata kwa kutumia Dish zifuatazo:-

KU ft 4

KU ft4 ikitimizwa!

C band ft6 tayari kwa kuweka KU lnb

C band ft6 imekamilika

 Pia unaweza ukapata kwa kutumia C band ft8!!!

Share:

Oct 1, 2013

TRENET KWENYE DISH NAYO!!

Digital ndo habari ya sasa!
Sasa ile channel ya dini ya Trenet tv nayo kwenye Dish tena ikiwa bure!
Unaipata kutumia Dish ndogo,satellite husika Intelsat 17 nyuzi 66E,kama muelewa wa masuala ya madish tofauti nyuzi mbili na Emanuel tv kwenye dish ya KU!!!
Kwa mtazamo wangu wanaweza wakaja kuhama Satellite baadae maana hapa walipokaa wapo wenyewe tu kwa Tanzania hivyo wanaweza wakahamia zilipo nyengine ili kuwapa urahisi wapenzi wa channel hiyo ila kama wataendelea kuka hapo hapo inaweza ikawa mtihani kidogo kwa wadau!!
Share:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita