Call / WhatsApp +255673378129

Jan 30, 2014

AZAM TV UNAWEZA KUONA TV ZAIDI YA 1!!


Swali ambalo wengi wamekuwa wakiniuliza lakini jibu huwa nawaambia unaweza kuona kwa tv moja tu na ndivyo ilivyotengenezwa ila kwakuwa uwanja ni wetu hakuna linaloshindikana!!
Yap unaweza kutumia Decoder ya Azam tv moja ukaona tv zaidi ya 10 na zote zikiwa saaafi isipokuwa ukibadili zote zinabadilika!
Unawezaje kupata huduma hii!!??
+255789476655/659161111
mustaphamadish@gmail.com
Morogoro rd,Magomeni Mapipa
Yote kuhusu ving'amuzi check nasi!
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

This is the perfect blog for anybody who wants to
understand this topic. You know so much its almost tough to
argue with you (not that I actually would want to…HaHa).

You certainly put a brand new spin on a subject that's
been written about for a long time. Wonderful stuff, just
excellent!

Here is my blog post ukulele course Singapore

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita