Call / WhatsApp +255673378129

Jan 8, 2014

BEI YA AZAM TV BURUDANI KWA WOTE


Hivi karibuni nilipokea simu ilinisikitisha sana kuhusu bei wanazouziwa watu hasa mikoani king'amuzi cha Azam tv na cha kushangaza zaidi hata hapa Dar kuna baadhi ya wakala wanauza bei juu tofauti na utaratibu uliowekwa,nilichogundua ni kwamba wengi wameingia kwenye hii biashara pasi kuijua vizuri wanachofanya wao ni kuuza tu lakini ufundi ni juu ya mteja mwenyewe matokeo yake mteja ananunua king'amuzi lakini anafungiwa baada ya wiki 1/2 mpaka 3 kwa kukosa fundi!
Simu toka Ruvuma niliambiwa wanauziwa 180000/= bila malipo ya mwezi bila ya kufungiwa!
Mwanza wanauziwa 160000/= bila malipo ya mwezi na bila ya kufungiwa!

Dar kuna kuna mtu aliuziwa 160000 full installation na malipo ya mwezi mmoja!

Na kwengineko nadhani haya yanatokea sana tu na kilichonifanya leo niweke post hii ni hii bei ya Ruvuma!!!
Sababu ya kila mtu kujiamulia bei anayotaka yeye ni kutokana na wauzaji kutokuwa wakala,hivyo ili nae apate faidi ananunua kwa wakala then anauza nae kwakuwa ndo msimu wa kupata pesa hasa kupitia Azam tv kuikweli mnatuharibia wenye kazi zetu,binafsi napenda sana tuwe wengi ili mnipe changamoto niweze kuwa mbunifu zaidi katika kazi yangu lakini hamuwezi mkanipa changamoto kiubabaishaji na kuibia watu namna hiyo!!
BEI YA AZAM TV NI 135000/=

Unapata Vifaa vyote!! Hii bila ya ufundi wala kifurushi.
UKITAKA KUJUA BEI ZA VIFURUSHI VYA AZAM TV BOFYA HAPA
PIGA +255789476655


Share:

7 Unasemaje..??:

Lubna said...

Napenda Azam kingamuzi nipo arusha ntaipataje na hio bei

Unknown said...

Asante kunamtu anaitaji king'amuzi akiwa tayari ntakujulisha

mpangogocha.spot.com said...


Unknown said...

Mm Niko nahitaj unapatikana WAP

Unknown said...

Mm ninacho cha kwangu nakiuza

Unknown said...

Daah hiyo bei kubwa sana kwanini DsTv wanauza 79000 alafu nyie 135000 punguzeni kidogo ili kila mtu apate jamani mbna mnatufanyia hvyo

Unknown said...

Tunaombeni wakala wa kuuza vingA'amuzi tuangoma

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita