Call / WhatsApp +255673378129

Jan 24, 2014

LINAPOPITA LA KUCHEKESHA.......!!

Lazima kucheka ili siku ziongezeke!!
Ila mengine kiukweli yanamaudhi kupitiliza,tukiacha kibinafsi pia kikazi maana kazi yangu inahusisha watu wa aina tofauti kwa kipato,jinsia na hata uwezo wa uelewa kama si kufikiri!
Nianze na issue ya wale wateja wangu wanaopiga simu usiku ama asubuhi sana,nimewahi kupokea simu usiku wa saa 5,6,8 na kukuta miss call ya saa 10 alfajiri na baada ya kupiga mtu anakuuliza kuhusu Madish!
Kweli jamani! hata kama ni biashara tunawezaje kufanya kwa muda huo!
Na hao wote ambao wanapiga muda huo hakuna aliyenipigia mchana baada ya kumuelekeza afanye hivyo labda awe ametumia no.yengine tofauti na ile ya usiku!
Ingawaje sikuwa nimeweka muda wa kazi itanilazimu kufanya hivyo ili alau kwa ndugu zangu wale usiku kwao mchana wapate elewa!

Mustapha Hanya a.k.a Baba Fetty
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kaka watu tunatofautiana kama unavyosema hivyo tuvumilie!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita