Call / WhatsApp +255673378129

Jan 21, 2014

OFFICE ZA TUCTA TUMEMALIZA KUFUNGA DSTV NA FLAT SCREEN!

Mwendo ni ule ule kazi nzuri ndo sababu ya kutufanya tunapata tenda zaidi kwa maana wateja zetu ndio mabango ya matangazo ya kazi zetu!
Office za TUCTA pale mnazi mmoja,siku ya kwanza nilienda kukagua kazi



Hapa nishakagua kazi siku ya kwanza.
Siku ya pili nikaingia mzigoni na CREW yangu kazi kazini!

Tukiwa juu mjengoni!
Juu tulipomaliza tukahamia ndani,sehemu ya kwanza ni katika chumba cha mikutano!

 Ukumbi wa mkutano kabla hatujafanya yetu

 Kazi imeanza..

Tunapanda kwa umakini wote

Mtaalamu Baso akitoa TV kwa Box

Mzigo ndo huu!



Pima pima zikiendelea

Hapo....!!

 Flat screen kuelekea kupima

Vipimo vikiendelea

TV bracket tayari kwa ukuta

Maelekezo yakiendelea

Chumba cha mkutano tumeshauza
Tukahamia vyumba vyengine mwendo ule ule,tukizingatia kazi safi na bora!


Baba yake na Fetty huyu!

Mzee wa Nyembe!

.........!!!

Kazi imekamilika

Chimpo!!

Mustapha MaDish

Macho yako yanasemaje

huyu ndo kafunga kazi!
Tumemaliza kufanya yetu tuliyoagizwa kufanya hapa!
Kama nawe unataka CREW hii ipendezeshe office yako/Hotel yako/Nyumbani kwako ama popote ni rahisi sana kutupata!
Tupo Morogoro rd,Magomeni Mapipa.
Office:+255789476655
Mobile:+255659161111
Popote ulipo nasi tupo na wewe!!
Yote yanayohusiana naving'amuzi vyote uvijuavyo tutembelee!!
Share:

3 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Mustapha jana nimepiga sana simu yako ilikuwa inaita tu,baadae akapokea mtu na kuniambia upo site na hakuwa msaada kwangu kwamaana mi nahitaji kuzungumza nawe nina kazi ya Hotel sasa nataka kujua tutaifanyaje.

Anonymous said...

Hakika mnafanya ya kupendeza hongereni sana vijana,Pongezi sana kwakuwa ni vijana wachache sana wanaojituma kama ninyi!
Nimekuwa mfuatiliaji wa kazi zako muda sana na kila kukicha unapanda ngazi hii inaonyesha ni jinsi gani u makini na kazi yako sasa usijisahau uzi huo huo Mtoto wa madish

Anonymous said...

Nimekutana na mafundi wengi wababaishaji kiasi kwamba Madish yangu nyumbani kama urembo yapo lakini toka nilipoona hii blig na kuifatilia hakika Mustapa MaDish utakuwa solution ya tatizo langu,nipo safari ila nikirudi tu nitakutafuta!

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita