Call / WhatsApp +255673378129

Jan 1, 2014

TAREHE 1/1/2014 KIBAHA KONGOWE

Leo ni siku ya mapumziko baada ya kuzitafuta mwaka mzima!
Kwakuwa madish ndio yaliyoleta muunganiko wa issue zangu nyingi hivyo kupumzika bila kuzungumzia ama kugusa kadish hata kamoja itakuwa uongo maana nnachokikubali zaidi kwasasa ni madish na ndo sababu ya kufanya nifanye vizuri zaidi!
Ndugu yangu toka Kibaha alichukua Azam tv kama wiki mbili nyuma,ikawa imebaki kufungiwa tu,akapata safari na akarejea tarehe 31/12/2013 akanicheck kuwa amerudi!!
Kuthamini uwepo wake ukiacha undugu pia ni mteja wetu nikaona nitumie siku hii ya mapumziko kumtembelea na kutekeleza wajibu!!


nilipofika sikumkuta n baada ya muda alirejea,tukapiga story mbili tatu mpaka saa 1 kasoro usiku ndipo nikaanza kazi mpaka saa 2 na nusu NIKACHAPA MWENDO!
Share:

0 Unasemaje..??:

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita