Call / WhatsApp +255673378129

Mar 1, 2014

KUTANA NA MAFUNDI WASAFI HUDUMA SAFI

 Mustapha Madish

 Mustapha MaDish na Herry Msamila

 Ba'Fetty
Hii ni kwa nchi yetu tu na baadhi ya nchi za Africa Imezoeleka kuwa yeyote aitwae fundi bila kujali wa nini kinachofuata ni dharau na mtu anakujengea picha lazima utakuwa mchafu!
Naongea na wateja wengi sana kwa simu bila kuonana ila siku tunapokuja onana ama kumkaribisha kwa office na kuona crew ya Rangers anasema kakutana na kitu tofauti ambacho hakuwa amekiwazia apatapo huduma ndo inakuwa tumemaliza kiu ya muda mrefu!
Kiukweli hatukuwahi kupata lawama kubwa kubwa ijapokuwa kuna lawama ndogo ndogo na kwetu ni changamoto na huwa tunamaliza tatizo kwa wakati!
Tunapata lawama kutokana na ukweli kwamba wateja wetu wanatofautiana kwa ujumla kuna waelewa na kuna wale pasua tena pasua ile yenyewe kabisa kwa maana inapelekea mpaka unajuta kumuhudumia ila kwakuwa ndo kazi tunajitahidi kutekeleza huduma iliyotakiwa na mteja husika ijapokuwa wanapenda kukimbilia kwenye lawama!
+255789476655
Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Hivi Mustapha MaDish ndiye baba Fatty!!??

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita